Halotel 5G Router

Sambaza:

Sh 100,000

Biashara:  Stanley Troubadour


Maelezo

Furahia ofa maalum ya mwezi wa kwanza kwa kulipia 100,000 tu na ujipatie 5G RouterĀ  pamoja na spidi hadi mbps 30.

Baada ya hapo unaweza kuchagua kifurushi kinachokufaa kila mwezi.

Chagua spidi unayotaka

  • 70,000 – hadi mbps 30
  • 100,000 – hadi mbps 50
  • 180,000 – hadi mbps 100
  • 300,000 – hadi mbps 200

Tunakuletea popote ulipo, delivery bure kwa Dar es Salaam.

Hakuna!
Bidhaa
Tafuta
Huduma