Mashine ya kupandia mbegu

Sh 350,000

Maelezo

Hand-Push Roller Seeder ni mashine ya kisasa ya kusukuma kwa mkono yenye kitairi ambayo inatumika kupandia mbegu za punje na mbolea. Mbegu hizo ni pamoja na mahindi, maharage, kunde, karanga, njegere nakadhalika.

 

UMUHIMU WAKE

  • Inapanda kwa usahihi mkubwa na pia unaweza kuweka mbolea na mbegu kwa wakati mmoja.
  • Mashine hii inauwezo wa kupanda mpaka ekari 10 au zaidi kwa siku.
  • Inapunguza muda wa kufanya kazi.
  • Inaokoa gharama za uendeshji kwani ni rahisi kuitumia na unapanda hata ukiwa mwenyewe.

 

MAELEKEZO KWA VIDEO

Joack, Company, Tegeta - Wazo hill, Dar es Salaam, -6.667650,39.173965, Tanzania
Hakuna!
Bidhaa
Aina
Tafuta
Akaunti