Portable power station (150W)

Sh 165,000

Maelezo

Portable power system (150W) ni kifaa chenye nishati ya umeme kinachobebeka, suluhisho bora kwa mahitaji ya umeme wa haraka na wa kuaminika, hasa katika mazingira yenye changamoto za umeme au maeneo yasiyo na umeme.

Kina mfumo unaokupa umeme wenye uwezo wa kuendesha vifaa mbalimbali ikiwemo TV, friji, feni, kompyuta, kuchaji simu na vifaa vingine popote ulipo. Pia kina taa ya LED inayotoa mwangaza mkubwa wa hadi 200 lumen, bora kwa matumizi ya nje au dharura.

 

VIPENGELE MUHIMU

  • Uwezo (Capacity): Kina sehemu za AC, DC, USB output – zote zinaweza kutumika kwa pamoja bila kuathiri utendaji.
  • Ulinzi wa Juu: Kimetengenezwa kuwa imara dhidi ya joto kupita kiasi, voltage ya juu, na uzito mkubwa – kuhakikisha usalama.
  • Betri ya Lithium ya Kudumu: Inachajiwa kwa umeme wa kawaida au sola ya kuanzia 30W 18v panel na hudumu kwa muda mrefu bila kupoteza chaji haraka.
  • AC output voltage: 110V/220V
  • AC rated output power: 150W
  • DC output: 12V
  • DC input: 12.6V/5A
  • Battery capacity: 12.8V40AH

MATUMIZI KWA VIDEO

Angalia

Aileen, Ward, Swahili street - Kariakoo, Dar es Salaam, -6.822500,39.276000, Tanzania
Hakuna!
Bidhaa
Aina
Tafuta
Akaunti